HUU NDO UCHAFU UNAOFANYWA NA WANAFUNZI SHULENI


Siku hizi  si jambo la kushangaza  kuona mwalimu anatoka na mwanafunzi wake ili tu mwanafunzi apate majibu kwenye mtihani. .........

Imekuwa  ni kawaida  kabisa  kwa wanafunzi kufanya  mapenzi  madarasani  au mabwenini. Lakini cha kushangaza walimu wapo na  hawasemi lolote......

Kuweni makini wanafunzi .Ni  bora mkakumbuka kuwa mmeenda shule  kusoma na siyo kufanya ngono na wanafunzi wenzenu au walimu wenu. 

Naamini  kwa  picha hii,  ujumbe  utakuwa  umeifikia jamii  kuhusu  maadili ya  watoto wetu  katika  shule  mbalimbali 
MATUKIO  HAYO  MACHAFU   YANAENDA  SAMBAMBA  NA KUPIGA PICHA CHAFU