SHAKIRA, PIQUE WATEGEMEA MTOTO.
MWANAMITINDO MTANZANIA FLAVIANA MATATA AFANYA MAHOJIANO NA IDHA YA KISWAHILI YA BBC
SELECTED APPLICANTS FOR THE 2012/2013 ADMISSIONS
SELECTED APPLICANTS FOR THE 2012/2013 ADMISSIONS
The
Tanzania Commission for Universities (TCU) in Collaboration with the
National Council for Technical Education (NACTE) is announcing the names
of Applicants who were seleted into various programs for the 2012/2013
Admissions. However, the list of some applicants who were selected into
various programs but obtained no loan, applicants who were returned by
some institutions, and selected applicants who asked for transfer, will
be announced before 21 September 2012
To view selected applicants with Loans, please click here...
To view selected applicants through Mozambique Scholarships, please click here...
To view selected applicants with Loans but subject to verification with HESLB (Previous Lonee), please click here ...
WANAFUNZI WALIOPATA MIKOPO 2012/2013 BOFYA HAPA
RAIS KIKWETE AKANA KUMUUZIA GEORGE BUSH ENEO LA KIGAMBONI
AIBU: MISS TABATA 2011, "FAIZA ALLY" APIGA PICHA CHAFU NA KUSAMBAZWA MTANDAONI NA MTU WAKE
MISS TABATA 2011, FAIZA ALLY
Kweli sasa naamini ule msemo; "you can remove some people from the bush but you can not remove the bush from their heads"
Ni aibu kubwa
sana Mtu mzima kuweka picha za nusu utupu ambazo ni za mpenzi wako
mkiwa mnafanya mapenzi.Unamdorisha nani ambaye unadhani hajui?
Kero Ya Usafiri Dar Leo Asubuhi
Abiria wakisukumana wakati wanaingia kwenye daladala asubuhi hii,tabata mwananchi,chini ni kituoni kukiwa hakuna gari yoyote
FUMANIZI LA AIBU NDANI YA GESTI
Hapa ulikuwa ni mwendo wa kutwangana ngumi tu, maelezo baadae
---------------------------------------
KCB Bank Yatoa Msaada Hospitali Za Amana Na Mwananyamala
"JB NAYE NI KICHECHE KAMA WEMA SEPETU NA AUNT EZEKIEL".......NEY WA MITEGO
Msanii wa muziki hapa nchini, Ney wa Mitego jana amemuangushia bomu muigizaji wa filamu nchini, Jacob Steven aka JB kuwa hana tofauti na waigizaji wa Bongo Movies anaowachukulia kama vicheche.
Makaburi Ya Tana River Yafukuliwa
Polisi walipewa amri ya kufukua makaburi hayo hii leo katika kijiji cha Ozhi ambako mapigano kati ya jamii za Orma na Pokomo yalisababisha vifo vya zaidi ya watu miamoja na kuwaacha maelfu bila makao.
MAJINA YA WALIOPATA MKOPO TOKA BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA:TAFUTA JINA LAKO KWA KUTUMIA ALFABETI YA CHUO ULICHOPANGIWA NA TCU
MAJINA YA WALIOPATA MKOPO TOKA BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA:TAFUTA JINA LAKO KWA KUTUMIA ALFABETI YA CHUO ULICHOPANGIWA NA TCU
1: KWA WANAFUNZI WA UNIVERSITY OF DODOMA
KU DOWNLOAD <<< BOFYA HAPA>>>
2: KWA WANAFUNZI UDOM NA UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
3:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA UDSM, UOA, UOAB, ZIFA NA ZU
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
4:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA TUDARCO, TUICO, TUKCMC, TUMA,
UCEZ NA UDOM
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
5:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA SUA, SUZA, TEKU, TIA NA TUDARCO
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
6: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA SJUCIT, SJUTDSM, SMMUCU NA SUA
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
7:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA RUCO, SAUT, SEKUDO, SJUCAST
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
8: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA DUCE, ETU, HKMU, IAA, IFM, IMTU
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
9: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA MUCE, MUHAS, MUMBEYA, MWUCE,
NIT, OUT NA RUCO
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
10: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA IMTU, IRDP, ISW, ITA, JOKUCO, JUCO,
KIU, MIST MMU, MNMA, MU, MUCCOBS NA MUCE
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
11: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA AKA, AMUCTA, ARU, CBEDSM, CDTI,
COET, DIT NA DUCE
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
1: KWA WANAFUNZI WA UNIVERSITY OF DODOMA
KU DOWNLOAD <<< BOFYA HAPA>>>
2: KWA WANAFUNZI UDOM NA UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
3:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA UDSM, UOA, UOAB, ZIFA NA ZU
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
4:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA TUDARCO, TUICO, TUKCMC, TUMA,
UCEZ NA UDOM
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
5:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA SUA, SUZA, TEKU, TIA NA TUDARCO
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
6: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA SJUCIT, SJUTDSM, SMMUCU NA SUA
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
7:KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA RUCO, SAUT, SEKUDO, SJUCAST
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
8: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA DUCE, ETU, HKMU, IAA, IFM, IMTU
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
9: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA MUCE, MUHAS, MUMBEYA, MWUCE,
NIT, OUT NA RUCO
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
10: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA IMTU, IRDP, ISW, ITA, JOKUCO, JUCO,
KIU, MIST MMU, MNMA, MU, MUCCOBS NA MUCE
KU DOWNLOAD << BOFYA HAPA>>
11: KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA AKA, AMUCTA, ARU, CBEDSM, CDTI,
COET, DIT NA DUCE
KU DOWNLOAD <<BOFYA HAPA>>
PICHA: ELIZABETH MICHAEL "LULU" AKIWA MAHAKAMANI SIKU YA JUMATATU
Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa
makakamani katika mahakama ya rufani, jana baada ya kusikilizwa kwa
maombi ya upande wa jamhuri ya kuomba kupitiwa kwa uamuzi wa Mahakama
Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar Es Salaam wa kukubali kufanyia uchunguzi
umri wa msanii huyo
HAFSA KAZINJA APEWA SHAVU NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
Hafsa Kazinja akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Bi. Mwanaidi Maajar
Mwanamuziki wa kike nchini Tanzania aliyewahi kutamba na wimbo ‘Pressure’ aliomshirikisha Banana Zorro, Hafsa Kazinja, yupo ziarani nchini Marekani.MARIAH CAREY AZUNGUMZIA BIFU LAKE NA NICKI MINAJ
Mariah Carey |
Kumekuwepo
rumors zilizozagaa kwenye mitandao kuwa kuna beef la chini chini kati
ya Mariah Carey na Young Money rapper Nicki Minaj, ambao wote ni majaji
wa American Idol.
JACKLINE WOLPER NAYE AMPAKA MATOPE UWOYA: " UWOYA ANAUELEWA MDOGO KIFIKRA NA SIHITAJI KUCHEZA NAYE MOVIE MOJA"
BAADA ya msanii Irene Uwoya kudai kuwa msanii mwenzake Jackline Wolper
hana kiwango cha kuweza kushiriki naye kwenye filamu moja, naye Wolper
amejibu mapigo kuwa hata yeye haitaji kucheza naye kwani anaamini
kiwango chake si cha mdomoni bali mara zote anakionesha akiwa kazini na
hata mashabiki zake wanajua hilo.
HII NDO FAMILIA YA JOSE CHAMELEONE
Daniela akiwa na wanae Abba na Alfa nchini Italia
Jose Chameleone anaweza kuonekana jeuri na mtata mbele ya mashabiki
wake. Lakini kuna kitu kimoja ambacho wengi wanaweza wasiwe wanafahamu.
Chameleone ni baba anayeipenda familia yake na anayewajibika kuiweka katika mazingira mazuri kadri awezavyo.
Ugumba Wawatesa Watanzania Wengi
Na: Florence Majani na Herieth Makwetta. Mwananchi
TATIZO la uzazi linaonekana kushika kasi nchini baada ya idadi kubwa ya wanandoa kukimbilia Kenya kupata huduma ya upandikizaji wa watoto kwa gharama ya zaidi ya Sh5 milioni.Kati ya wageni 10 wanaokwenda katika vituo vya upandikizaji vya Aga Khan na Nairobi IVF Centre nchini humo, wanne wanatoka Tanzania.
MAMBO YA BIG BROTHER: HATIMAYE GOLDIE ATIA MGUU NCHINI KENYA NA KUPOKELEWA NA PREZZO
Prezzo & Goldie |
Aliyekuwa mmoja wa washiriki na wawakilishi wa Nigeria katika jumba la Big brother Stargame 2012 Goldie, jumamosi iliyopita 15thsept 2012 aliland katika ardhi ya Kibaki mishale ya midnight.
HII NDO KAULI YA MWISHO YA ORIJINO KOMEDI KUHUSU HALI YA VENGU
WILSHERE KUREJEA UWANJANI KARIBUNI.
FABREGAS ASIFU UWEZO WA WENGER.
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: VIWANJA NANE KUWAKA MOTO ULAYA LEO.
WENGER KUANZIA JUKWAANI UFARANSA.
Maonesho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa yaendelea Iringa
Maadhimisho
ya Wiki ya Nenda kwa Usalkama barabarani leo yameingia siku ya Pili
ambapo kitaifa yanafanyika mjini Iringa katika Uwanja wa Sokoine na
kushirikisha wadau mbalimbali wa Usalama barabarani. Kauli mbiu ya
Maadhimisho ya mwaka huu ni “PAMBANA NA AJALI ZA BARABARANI KWA VITENDO,
ZINGATIA SHERIA”. Pichani ni Meneja Masoko na Utafiti wa Shirika la
Bima la Taifa (NIC) akitoa maelekezo kwa vijana na watoto waliofika
bandani hapo leo.
JUMBA LA EBSS 2012
Hili
ndilo jumba la kifahari la wshiriki wa EBSS ambapo watakuwa wakiishi
katika kipindi chjote cha shindano lao. Ni jumba la kifahari
lililosheheni kila aina ya vitu.
Mheshimiwa Ndesamburo Akutana Na Mwenyekiti Wa Chadema Uk
BAVICHA Taifa Wakutana Morogoro Kuweka Mikakati Ya Kuimalisha Chama Chao
Mwandishi
wa Habari na Mtangazaji wa zamani wa TBC, Jerry Muro ( kushoto) akito
salamu zake kwa wajumbe wa Kamati ya Utendaji cha Bavicha Taifa
iliyoketi Mjini Morogoro kuanzia Septemba 14 hadi 18, mwaka huu.
Msemaji Wa Boko Haram Auawa Nigeria
Kwa mujibu wa jeshi hilo, wanachama wengine wakuu wa kundi hilo pia walikamatwa katika msako mkali wa jeshi uliofanywa ,mapema leo Kaskazii mwa mji wa jimbo la Kano.Kundi hilo la Boko Haram bado halijatoa kauli yoyote kuhusiana na mauaji hayo yanayodaiwa kufanywa na jeshi.
SHILOLE AGWAYA KUMTAMBULISHA MPENZI WAKE KISA KIKIWA NI KUHOFIWA KUPORWA....!!!
STAA
wa filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameiambia jicholetu kuwa anaogopa kumtambulisha kwa mashosti zake bwana’ke
aliyenaye kwa sasa akihofia kuporwa.
MWANAMITINDO WA TANZANIA, FLAVIAN MATATA ASHIRIKISHWA KWENYE VIDEO YA LADY GAGA
Mwamitindo wa kimataifa wa Tanzania na
Miss Universe Flaviana Matata jana amepost picha akiwa na Lady Gaga
ambaye hata hivyo sura yake haionekani vizuri kwakuwa anaonekana usoni
akiwa amevaa maua yaliyozungushwa kwenye duara.
MAPRODUCER WA NIGERIA WAMPA SHAVU "ODAMA" LA KULA BATA UINGEREZA NA MALAYSIA
Staa wa tasnia ya filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amekula shavu la kufanya ziara ya kikazi nchini Malaysia na Uingereza.
Dk.Titus Kamani Adai Anachafuliwa
na mwandishi wetu
MIKAKATI na kampeni za majitaka zenye lengo la kumchafua Mbunge wa Jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk. Titus Kamani, zimeanza kubainika kwa kumhusisha na tena na tuhuma za mauaji.
MIKAKATI na kampeni za majitaka zenye lengo la kumchafua Mbunge wa Jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk. Titus Kamani, zimeanza kubainika kwa kumhusisha na tena na tuhuma za mauaji.
HII NDO VIDEO YA MAKAMUZI YA SERENGETI FIESTA JAMHURI MOROGORO USIKU HUU
Msanii mahiri katika mahadhi ya Mduara AT akiduarika na mmoja wa densa wake jukwaani
Mwakyembe Atua Ujerumani
DIAMOND AFUNGUKA TENA: "HUU NDO UKWELI WA MAHUSIANO YANGU MIMI NA WEMA SEPETU"
Huu ndo ujumbe alioutoa msanii Diamond:
"Najua
watu wengi sana mnapenda couple hii na furaha yenu ni kutuona
wawili sisi tukiwa kwenye mahusiano ya kimapenzi......na mmekuwa
mkifurahi sana na stori za hapa na pale mkisikia wawili sisi
tumekuwa pamoja na hata pindi mkituona tuko pamoja pia mmekuwa
mkishangilia na kufurahi.........
"NINAPOKUWA KITANDANI HUWA SINA UJANJA MPENZI ANAPONICHEZEA NYWELE ZANGU"...ISABELLA
MISS
Ruvuma 2006/07 , Isabela Mpanda ‘Bella’ amefunguka kuwa mwanaume wake
anapomchezea nywele na maeneo nyeti na kifuani huwa habari yake
inakwisha kabisa na kujikuta hoi bin taabani.
DOGO JANJA ATIMIZA MIAKA 18
Dogo Janja msanii kutoka Mtanashati Ent, anasema
anajisikia poa sana kutimiza miaka 18 na kuingia step nyingine ya
maisha.
TUNDAMAN AJIPANGA KUFANYA VIDEO NAIROBI
Nyota wa Muziki wa Bongo flava Nchini kwa jina la Khalid Ramadhani alias Tundaman hivi karibuni anatarajia kufanya video ya nyimbo yake mpya na Ogopa Video Production toka pande za Kenya.
PIPI AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
Msanii anayetamba na video yake mpya inayoitwa UNAPOKUWA MBALI hapa namzungumzia PIPI jana usiku alijifungua mtoto wa kiume na kumpa jina la KINGSTONE.
Mwenge Wa Uhuru Wawasili Mkoani Rukwa
Mkuu
wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akipokea Mwenge wa Uhuru
kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya mara
baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa mjini Sumbawanga .
BABA LEVO AJA NA NGOMA YA KUACHANA POLISI KWA UKATILI WAO
Msanii wa Kigoma All Stars ameachia ngoma iitwayo ‘Breaking News’
aliyoitunga kwaajili ya kuwachana polisi waonevu na wala rushwa.
Miongoni mwa mashairi yaliyopo kwenye wimbo huo ni pamoja na,
Miongoni mwa mashairi yaliyopo kwenye wimbo huo ni pamoja na,
HAYA NDO MASWALI TULIYOMUULIZA BANZA STONE KUHUSIANA NA SABABU ZA KUWAZA KUFA NA KUTUNGA NYIMBO ZA MWISHO
Hivi karibuni Banza Stone amekaririwa na
baadhi ya vyombo vya habari kuwa amekata tamaa ya kuishi na amekuwa
akiota ndoto za kufa.
Alisema kuwa yupo kwenye mpango wa kutoa nyimbo zake za mwisho kabla Mungu hajamchukua rasmi.
Alisema kuwa yupo kwenye mpango wa kutoa nyimbo zake za mwisho kabla Mungu hajamchukua rasmi.
" NILIPIGA PICHA YA UTUPU KUONESHA FURAHA YA BIRTHDAY YA MWANANGU".......... UTETEZI WA UFANDE SELE
Internet ni maktaba kubwa ambayo maandishi, muziki, video na picha zikishasambaa huwezi kuvifuta daima.
Na
ndio maana picha maarufu ya mfalme wa rhymes Seleman Msindi aka Afande
Sele inayomwonesha akirap jukwaani akiwa kifua wazi na kuvua suruali
huku akibaki na ‘boxer’ nyeusi imeendelea kuwa jinamizi linalomrudia
kila kukicha.
Subscribe to:
Posts (Atom)