(hii picha ni kutoka kwa Alpha Rwirangira )
Nyumba zilivyojengwa kimpangilio kwenye mji wa Kigali.
Huu ni mfano wa jinsi Kigali Rwanda ilivyopangwa kujengwa katika miaka michache ijayo according to topboxdesign.
Hii
ndio Account ya Rais Paul Kagame kwenye twitter, Paul Kagame (54) ni
rais wa sita wa nchi hiyo ambayo ameiongoza kwa zaidi ya miaka kumi na
wengi wanaamini kama angeendelea kukaa madarakani kwa muda mrefu zaidi,
angeweza kuibadilisha Rwanda kwa kiwango kikubwa sana.