Kuna
mjadala mtamu sana wa wadau wa muziki wa Tanzania umefanyika Facebook
kwenye wall ya aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM Reuben Ndege aka
Nchakalih.
“Kila
deejay na msanii wa kenya ambae nimekutana nae ndani ya wiki moja ya
kuwa huku 254, analiangalia soko la TZ na kupanga kuja kufanya kweli.....ni
changamoto kwetu kufanya kweli na kuhakisha tunawapa watz kile wanacho
stahili ili kukabiliana na ushindani unaotarajiwa kuvuka mipaka ya EA,
” ameandika Nchakalih.
Baada
ya status hiyo wadau wengine waliamua kusema yao pia na kuzungumzia
kasoro za wasanii wa Tanzania zinazopelekea kushindwa kutoka nje ya
mipaka.
Jimmy Blanks alisema, “There
is discipline and structure in the composition of music and in it’s
study, perfecting, and performance. NEGLECTING structure on the
composition side generally produces an undesirable product.
A lot of people won't like what i have to say BUT bongo artists lack foresight and business acumen in their work.”
“Tumewahi
kulijadili hili mimi na wewe....na ulinipa experiences zako kama
promoter pande za uingereza na baadhi ya wasanii wakubwa wa hapa
bongo.....kama wataendelea kujilemaza na kutoangazia upande wa
biashara....wataumia vibaya,”aliongeza Nchakalih.
Mie
nashangaa sana wasanii wa bongo 24/7 ni kula bata tu. Wenzetu 24/7
wanatafuta soko la biashara. They are already conquering Southern Sudan.
Kwa Kumbukumbu zangu I only know of A.Y. ndo kaenda kuperform huko. Tz
music market is HUGE. I mean seriously ........ one year uzunguke
mikoani and self promote na you are guaranteed to make money (Jimmy
Blanks)