WAMBEA WAMENIACHANISHA NA MPENZI WANGU"....RECHO


Akipiga stori na paparazi wetu, Recho alisema mastaa hao (hakuwataja majina) wamekuwa wakichukia kuona penzi lao likidumu ambapo wameanza kutupa maneno ya kimbeya kwa bebi wake.

“Kwa kweli nimeshachoka sasa, kama wakiendelea hivi nitawataja mmoja baada mwingine sababu sasa hivi wamezidi,” alisema
Recho.