Maraia
wa mji wa Tabora wakikusanyika kwa ajili kuweza kupata taarifa juu ya
Fiesta 2012 itakayofanyika wikiendi hii kwenye uwanja wa Al Hassan
Mwinyi.
Mully B akizungumza na umati wa mashabiki wa Fiesta ndani ya Tabora leo hii
Mbwiga wa Mbwiguke na Mully B wakiongoza timu ya Fiesta kufanya matangazo kwa ajili ya show itakayofanyika wikiendi hii