
Mdada huyo baada ya kukimbia akawa yupo hapa hapa Dar akapata na bwana akawa anaishi nae.Kama bahati mmoja wa vijana anaemfahamu wakati akifanya kazi kule alipofanya tukio akamuona.Baada ya kumfatilia akajua anapoishi na ndipo alipokuja kukamatiwa.
Baadae alikuja kubebwa na polisi kwenye hilo defender,habari zaidi sikiliza leo tena katika heka heka za leo.
CHANZO Dina Marious na kipindi cha leo tena cloud