Mwenyekiti Wa Bavicha Taifa John Heche, Aendelea Na Mikutano Mkoa Wa Kagera

Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, John Heche, akihutubia Mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nsisha, Kagoma, Wilayani Muleba, Mkoa wa Kagera.