Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts
HAYA NDO MATUSI YA WABUNGE AMBAYO SPIKA AMEAHIDI KUWASHITAKI POLISI

Lugha kama hizi zimesababisha Watanzania wengi wakose hamu ya kusikiliza vikao
vya Bunge.
Tumechoshwa na lugha chafu za waheshimiwa. Bunge ni sehemu ambayo tulipaswa kuwa
tunasikiliza hoja za sera zikiwasilishwa na sheria kutungwa, lakini
imeshindikana.
JOSEPH MBILINYI:
"Mambo mengi ya nchi hii hayaendi kutokana na SERIKALI PUMBAVU....
MUME WA MTU NUSURA AUAWE NA KAHABA BAADA YA KUGOMA KUMPA MALIPO YAKE

Hatoki mtu hapa: Joseph Hussein akiburuzana na kimada wake Neema Samson baada ya kudaiwa kupenda vya bure.
WAKATI Oparesheni Fichua Maovu katika jamii inayoendeshwa na Global ikiwa kazini, wikiendi iliyopita ilinasa timbwili zito la aina yake kwa mwaka 2013 ambapo mume wa mtu, Joseph Hussein (31), nusura auawe na kimada...
MBWA AKUTWA NA MGUU WA BINTI WA DARASA LA 7....!!
IMANI za kishirikina zimezidi kukitisa Kijiji cha Isange, Kata ya Isange, Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya baada ya matukio ya kupotea na kuuawa kwa watoto kutokea mara kwa mara ambapo safari hii binti mmoja wa darasa la saba ameuawa na mguu wake kukutwa ukiliwa na mbwa.
BIASHARA YA USHOGA NAYO YASHIKA KASI

Huyu
ni shoga ni shoga kamera yetu ilimkuta shoga huyu akiwa katika pilika
pilika za kutafuta wateja,serikali ipo katika mchakato wa kupunguza
nyumba za kujiuza zijulikanazo kama madanguro,wakati hayo yakiendelea ma
kaka poa au mashoga
NAIBU WAZIRI WA ELIMU ATANGAZA KUWASHITAKI WANAODAI KUWA "AMEGUSHI VYETI"
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amesema
atawafikisha mahakamani watu wanaodai kuwa ameghushi vyeti vya elimu ya
sekondari. Mulugo alisema amechoshwa na kashfa hizo zinazosambazwa na
baadhi ya watu atawafikisha mahakamani endapo wataendelea kumdhalilisha.
Mulugo alitoa kauli hiyo alipofungua mkutano wa mwaka wa Umoja wa
Wamiliki wa Shule za Sekondari na Vyuo Binafsi Tanzania (TAMONGSCO0)
jijini Mbeya.
MECHI KATI YA BSc INFORMATION SYSTEMS NA BSc HEALTH INFORMATION SYSTEMS KATIKA VIWANJA VYA CHUO KIKUU DODOMA
KATIKATI NI STRIKER MOSE BENGER KABLA YA KUANZA MECHI
KIKOSI HCA BSc HEALTH INFORMATION SYSTEMS
Hilikuwa ni mechi ya kukata na shoka kati ya maasimu wakubwa wa mwaka wa tatu wa Course ya Bsc Informations Systems (Bsc IS) na Bsc Health Information Systems(Bsc HIS) kutoka College of Informatics and Virtual Educatication(CIVE).Mechi hiyo imechezwa jioni hii katika viwanja vya college ya Social Science, adi mwisho mechi hiyo imekwisha kwa kutoka dro ya kufungana doli moja moja
Vijana wa Bsc IS ndiyo walianza kupata Goli lililo fungwa na striker machachali MOSE MBENGA, na kipindi cha pili mshambuliaji machachali toka HIS MWINYI aliwasawazishia HIS adi mwisho akupatikana mbabe kati ya maasimu hao
"TUNAJIANDAA KUGOMA KWA MARA NYINGINE TENA MPAKA KIELEWEKE"...CHAMA CHA WALIMU
Baada ya Wanafunzi kuwa Vichwa Ngumu Serekali yaamua Kurudisha Viboko Mashuleni
Serikali imesema itarudisha adhabu ya viboko kwa wanafunzi shuleni ili
kujenga nidhamu na kujituma.Akizungumza Dar es Salaam jana wakati
akizindua tovuti ya www.shledirect.co.tz inayowezesha wanafunzi
kujisomea kwa njia ya mtandao, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya
Ufundi, Philipo Mulugo ilisema kuondolewa kwa adhabu ya viboko shuleni
kumewafanya wanafunzi wengi kukosa nidhamu na wakati mwingine kujifanyia
mambo kienyeji.
PICHA: LULU MICHAEL, MAMA YAKE NA MAMA KANUMBA WATEMBELEA KABURI LA MAREHEMU KANUMBA
TUKIO ZIMA LA WACHAWI WAWILI WALIODONDOKA NA UNGO HUKO KAHAMA- SHINYANGA
WAZEE WANAOSADIIWA KUWA NI WACHAWI WAKIWA CHINI YA ULINZI KITUO CHA
POLISI,KUTOKA KUSHOTO NI MWAJUMA MPONI (70) NA KULIA NI SHIJA NKWABI
(80)
Watu wawili wamenusurika
kuuwawa usiku wa kuamkia juzi katika kijiji cha Mhongolo wilaya ya kahama mkoani
shinyanga, baada ya kukutwa katika mazingira yanayodaiwa kuwa ya kishirikina.
AUNT EZEKIEL ANASWA AKIWA NUSU UCHI UKUMBINI

Kweli sikio la kufa halisikii dawa! Licha kuolewa na Sunday Demonte, msanii wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel ametia aibu kwa mara nyingine tena baada ya kunaswa nusu utupu ukumbini usiku wa manane....
Tukio
hilo lililoshuhudiwa na mwandishi wetu lilijiri juzikati katika Ukumbi
wa Nyumbani, mjini hapa ambapo Aunt aliwashangaza mashabiki waliofurika
kwenye shoo ya Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’.
Tanzania Yaongoza Unywaji wa Mataputapu
Utafiti wa Kituo cha Habari cha Marekani CNN, umebainikwamba Tanzania ni nchi ya sita barani Afrika kwa watu wake kunywa pombe chafu (mataputapu).
Utafiti huo wa Machi 23 mwaka huu, ulibaini kwamba Uganda inaongoza kwa kunywa pombe chafu maarufu kama Luwombo kwa asilimia 14.52 ikifuatiwa na Rwanda kwa asilimia 6.44.Kwa mujibu wa utafiti huo,Tanzania inashika nafasi ya tano kwa kuwa na asilimia 4.52,ikiwa nyuma ya Burundi yenye asilimia 5.07.Ivory Coast imekuwa nyuma ya Tanzania kwa kuwa asilimia 3.55 huku Tanzania ikiipiku Burkina Faso iliyoambulia asilimia 3.77, kwa wa watu wake kunywa pombe chafu.
Subscribe to:
Posts (Atom)













