Picha si ya Tukio Hilo.
Askari
 mmoja alievalia nguo za kiraia amewekwa ndani kituo cha polisi airport 
kwa kutuhumiwa kumshilka makalio mfanyakazi wa ndege wa fast jet.
Tukio hilo limetokea juzi saa nne...
Tukio hilo limetokea juzi saa nne...
Wakati askari huyo aliekuwa akienda mkoani 
akiwa bwii alipofika kwenye sehemu ya usalama aanze kuvua viatu na 
mengineyo gafla akaona binti amevaa kimini na huku nyuma kijungu 
kikipumua kwa kweli alishindwa kuhimili ndipo akamfuata na kumshika 
makalio ....
Baada  ya  tukio hilo, Askari wenzake  walimchukua   kumtuliza "sero" huku
 binti akienda kufungua kesi....
Source:Jamii Forums Via Udaku
Source:Jamii Forums Via Udaku
