WALIOTOLEWA BIG BROTHER AFRICA MAY 13 2012.

Washiriki wote wa Tanzania Hilda na Julio wametolewa.
Julio na mshiriki wa Zimbabwe ambae ametolewa leo.
Mshiriki wa Zimbabwe aliebaki na kuhamishiwa V.I.P, washiriki ambao wako kwenye hatari ya kutoka wiki ijayo ni Liberia na Sierra leone.