UZINDUZI WA MOVIE YA WEMA SEPETU WATISHA

 
Wema Sepetu "Superstar"

Chalz Baba na Steve Nyerere walikuwepo kutoa sapoti kwa msanii mwenzao
 Vijana kutoka mjengoni nao walihudhuria

                                          Barnaba akiwa na Dida, Shilole na Mainda




Wanamuziki AY na MwanaFA walikuwa ni baadhi ya wasanii wachache wa Bongo Fleva waliobahatika kuwepo kwenye usiku wa Wema Sepetu

                                                  Miriam Odemba akifanyiwa interview na Shadee
                         Shaa akifanyiwa mahojiano na Shadee wa Clouds TV
                                                   Mwanamuziki Shaa nae alikuwepo

Ray Kigosi na Richie walikuja kumsapoti Wema
Mgeni akawasili - Mwigizaji wa Nigeria Omotola Jalade akiwasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere alfajiri hii.
Wema Sepetu na Omotola wakiondoka Uwanja wa Ndege baada ya Omotola kuwasili kutoka Nigeria.

                                           Omotola akiwa na Miriam Odemba