BONGO MOVIE WAICHACHAFYA BONGO FLEVA 1 - 0


Benny Kinyaiya na JB wakishangilia.
..Bongo Movie wakifurahia ushindi.
Wachezaji wa Bongo Movie na mashabiki wake wakishangilia bao lao lililofungwa na Kiduko.

Simba wakiingia uwanjani kupasha misuli.

Yanga nao wakiingia uwanjani kwa maandalizi ya mechi.

Yanga wakijichua kwa ajili ya mtanange na watani wao wa jadi Simba.
Mechi ya watani wa jadi inakaribia kuanza muda huu. Timu zote mbili zimejiandaa vyema na kila moja imeahidi kuwashushia kichapo wenzao katika mtanange huu.


Wachezaji wa Yanga na Simba (Wabunge) wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya mechi kuanza.

Mtanange baina ya wabunge hao ukiendelea.

Zitto Kabwe akitoa pasi.

(PICHA NA IMELDA MTEMA/GPL)