CHADEMA yakusanya Milioni 3.2 za M4C

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akimtambulisha kwa wanaharakati  Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari wakati wa ufunguzi wa harambee ya Movement For Change - M4C iliyopo chini ya CHADEMA. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253. Hafla hiyo ya kuchangia ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar.
Mbunge mstaafu wa Jimbo la Arusha Godbless Lema akizungumza katika harambee hiyo.
 Wanaharakati mbali mbali waliojitokeza kuhudhuria hafra hiyo.Source: http://kajunason.blogspot.com/