Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akifurahia mzinga wa nyuki aliozawadiwa na TASO
katika maonyesho ya Wakulima Nanenane kwenye uwanja wa Themi Arusha
Agust 8, 2012. Kulia ni Naibu Waziri wa Kiolimo na Chakula na
Ushirika, Adam Malima
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mazao ya mbogamboga wakati alipotmbelea
maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja vya Themi, Arusha Agust
8, 2012.