SAKATA LA WANAUME WATATU WALIOVULIWA NGUO NA KUPEWA KICHAPO KIKALI KWA MADAI YA KULAWITIANA
Hawa
ni wanaume watatu ambao walipewa kichapo kikali ikiwa ni pamoja
nauvuliwa nguo hadharani siku ya tarehe 14 mwezi huu kwa madai kwamba huwa wanalawiti watu
Tukio hilo limetkeakatika jimbo la Imo linaloongozwa na bwana Rochas nakuzua mvutano mkali baina yake na mashirika ya haki za binadamu