Zimeandika kuwa kwa mujibu wa survey iliyofanywa hivi karibuni imebainika kuwa Size 8 ndiye msanii wa Afrika Mashariki anayepokea dau kubwa zaidi kwa show anazofanya na pia anatafutwa mno kwaajili ya kufanya shows.
Pamoja na show zingine, Size 8 amejipatia fedha nyingi kutoka kwenye kampeni za Niko Na Safaricom, Club 254 ya Airtel na Coca Cola.