Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
50 CENT AMFANANISHA RICK ROSSY NA MWANAMKE......USHAHIDI WA PICHA
Wote tunafahamu kuwa hakuna maelewano mazuri kati ya rapper 50 Cent na boss wa MayBach Rick Ross, leo kupitia Instagram kaweka picha ya Rick Ross akiwa na P.Diddy ambayo ukiitazama kwa haraka haraka inaweza kukupa tafsiri tofauti kidogo, na kisha akaandika caption 'Good Morning Girl. love is in the air". Itazame hapaSERIKALI YA CHACHARUKIA MAVAZI YA VIMINI KWENYE FILAMU
TAARIFA iliyotua hivi karibuni inaeleza
kuwa, mavazi yasiyo ya heshima vikiwemo vimini yamepigwa marukuvaliwa na
wasanii kwenye filamu wanazorekodi na yoyote atayekiuka atakiona cha
mtemakuni.
Chanzo chetu makini kilichoomba hifadhi ya jina lake, kimeeleza kuwa waliotoa agizo hilo ni Serikali ya Tanzania kupitia Bodi ya Filamu lengo likiwa ni kuhakikisha maadili ya taifa yanazingatiwa.
Chanzo chetu makini kilichoomba hifadhi ya jina lake, kimeeleza kuwa waliotoa agizo hilo ni Serikali ya Tanzania kupitia Bodi ya Filamu lengo likiwa ni kuhakikisha maadili ya taifa yanazingatiwa.
HAKUNA MWANAMKE KWENDA KWENYE SHOW YA DIAMOND HUKO LONDON"......MANGE KIMAMBI
Aunty Ezekiel "Wabunge wanataka kunivunjia Ndoa"
Akizungumza na mwandishi wa habari hii juzi jijini Dar, Aunt alisema waheshimiwa hao wanajua tayari yeye ameshaolewa lakini wamekuwa wakimpa usumbufu mkubwa na kutoa ahadi balimbali, ndogo na kubwa kitendo ambacho anaamini kinaweza kuhatarisha ndoa yake.
"KUTOVAA NGUO ZA NDANI HUSUSANI KWA WANAWAKE NI KUJIDHALILISHA"....SHILOLE.

IMEBAINIKA kuwa baadhi ya wasanii wa kike nchini hawavai nguo za ndani kwa madai kwamba joto linawaumiza na kuwasababishia michubuko katika baadhi ya sehemu za mwili wao
JACKLINE WOLPER: SITUMII KUNGUMANGA JAMANI HAYA NI MACHO YANGU HALISI.
WEMA SEPETU;DIAMOND ANATAFUTA KICK KWANGU ASINIFUATILIE NAFURAHI MAISHA NINAYOISHI SASA,SOMA HAPA STORY NZIMA.
Mwanadada WEMA SEPETU amesema hakuna star kama yeye Tanzania,ameyasema hayo leo katika kipindi cha uhead clouds fm na sudy brown baada ya kupigiwa simu na kuhulizwa kuhusu simu aliyompigia DIAMOND
DIAMOND AMTOSA WEMA SEPETU MBELE YA PENNY,AMPA PENNY SIMU UNAJUA ALICHO KISEMA SIKILIZA HAPA.
Clip iliyosambaa inayomuhusisha Wema Diamond na Penny imefika ndani ya blog yako, clip ambayo inaonekana kurecodiwa kwa maksudi na Diamond pale alipopigiwa simu na Wema Sepetu jana usiku. Inasemekana Wema alimpigia simu Diamond usiku,lakini baada ya Diamond kupokea alimtaka kuacha drama na kumsisitizia kuwa sasa hivi anampenda Penny.
Subscribe to:
Posts (Atom)













