muhimu .. MWANA DADA SHILOLE AOMBA MSAADA kwa AJILI YA MWANAYE>>>> TAFADHALI TUMSAIDIE KWA HILI

Friends hali ya mtoto c nzuri kiukweli anaendlea kuumwa anasumbuliwa zaidi na Figo pamoja na Apendex na kwa mujibu wa doctor ktk hospital ya Agakhan inahtajika asafirishwe kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu! Friends nawaomba msaada wenu wadhat toka moyoni kwa mwenye chochote kidogo aweze kunichangia kufanikisha upatikanaji wa pesa ya matibabu!! Nawaomba friends na fans wote kwa ujumla kutoa ni moyo na c utajiri chochote ulichonacho waweza nichangia kuweza kuokoa maisha ya mwanangu! Tafadhali leo kwangu kesho kwako.