ROBO FAINALI YA KAGAME AZAM YA FUZU BAADA YA KUICHEZESHA SIMBA KIBAO KATA AZAM 3 SIMBA 1

 Mashabiki wa Azam wakishangilia wakati timu yao ikiongoza kwa mabao 3-1

 Mshambuliaji wa Simba, Haruna Moshi 'Boban) akimtoka beki wa Azam Said Moradi katika mchezo wa robo fainali ya kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam

Mshambuliaji wa Simba, Uhuru Suleiman (kulia) akichuana na beki wa Azam, Said Moradi katika mchezo wa robo fainali ya kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.