Jana
mwenyekiti wa vijana Taifa wa CHADEMA John Heche,alipokea wanachama
zaidi ya 50 wakiwemo waliokihama CCM na kujiunga na chadema.Heche
aliwapa kadi za chadema wanachama hao wapya akiwamo aliyekuwa mwenyekiti
wa UWT kata ya magulumbasi A.CHADEMA inaendelea na programu zake za M4C
nchi nzima
.