SIKU chache baada ya kuunadi ujauzito wake kwenye ‘midia’, mwigizaji wa
Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’
amedai kuwa yupo tayari kwenda selo kama mtu ataingilia penzi lake.Jini Kabula amefunguka kuwa anampenda mpenzi wake Bushoke hivyo
kuwaonya wasichana wa mjini wasithubutu kuingilia penzi lake kwani
atawafanyia kitu kibaya akaozee jela.