PICHA: ELIZABETH MICHAEL "LULU" AKIWA MAHAKAMANI SIKU YA JUMATATU

Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa makakamani katika mahakama ya rufani, jana baada ya kusikilizwa kwa maombi ya upande wa jamhuri ya kuomba kupitiwa kwa uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar Es Salaam wa kukubali kufanyia uchunguzi umri wa msanii huyo