TUNDAMAN AJIPANGA KUFANYA VIDEO NAIROBI


Nyota wa Muziki wa Bongo flava Nchini kwa jina la Khalid Ramadhani alias Tundaman hivi karibuni anatarajia kufanya video ya nyimbo yake mpya na Ogopa Video Production toka pande za Kenya. 

Msani huyu  anasema kwamba kwa sasa anachotaka ni kufanya muonekano mpya wa kazi zake kuanzia audio mpaka video dat why ameamua video yake mpya akaifanyie pande za Nairobi.

Msanii huyu ambaye ni Captain wa kundi la Tip Top Connection anafunguka zaidi kuwa ngoma hiyo ambayo anatarajia kufanya video na Ogapa production toka Kenya  amemshirikisha mkali toka TMK Wanaume