JICHO LETU

JICHO LETU

RICK ROSS ATHIBITISHA KUWA YUPO NJIANI KUJA BONGO LEO


Masaa kadhaa yaliyopita msanii wa kimataifa toka nchini Marekani Rick Ross ameandika ukurasa wake wa Twiter kwamba yuko njia kuja nchini Tanzania ambapo atatumbuiza kwenye tamasha bora na kubwa kabisa hapa East Africa - Tamasha la Serengeti Fiesta Dar es salaam, siku ya jumamosi.


Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: BURUDANI, JAMII
Newer Post Older Post Home

FOLLOW ME ON FACEBOOK

Most Viewed

  • "MIMI NI MSANII WA KWANZA KUPANDA NDEGE TANZANIA"......DULLY SYKES
  • TATIZO LA ELIMU TANZANIA SIYO VIBOKO.....BORESHENI MIUNDO MBINU KWANZA BADALA YA KUFIKIRIA KUTEMBEZA VIBOKO
  • CHAKUA YAPANIA KUIBURUZA MAHAKAMANI SUMATRA BAADA YA KUPANDISHA NAULI ZA MABASI NA DALA DALA KIHOLELA
  • ANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE
  • FATAKI ANASWA LIVE NA MWANAFUNZI GESTI WAKIWA UCHI WA MNYAMA
  • HAYA NDO MATUSI YA WABUNGE AMBAYO SPIKA AMEAHIDI KUWASHITAKI POLISI
  • Magazeti Leo Ijumaa
  • Dudu Baya aelezea sababu za kumpiga mtangazaji wa Kiss Fm
  • CHADEMA YABEBA KATA ZOTE NNE ZA ARUSHA
  • VURUGU ZA LINDI: NYUMBA 15 ZA VIONGOZI WA CCM ZIMECHOMWA NA MIFUGO YAO IMEKATWA MAPANGA NA WANANCHI
Simple theme. Powered by Blogger.