HIVI NDIVYO WABUNGE MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOSHANGILIA USHINDI WAO DHIDI YA WABUNGE MASHABIKI WA YANGA

Mbunge wa Chadema na mshabiki mkubwa wa Simba Zitto Kabwe akishangilia baada ya kufunga penati


Wapinzani Bungeni Washkaji dimbani - Zitto Kabwe na William Ngeleja wakiongoza ushangiliaji wa wabunge wa Simba.
Wachezaji wa Simba (Wabunge) wakishangilia ushindi baada ya kuwafunga watani wao wa Yanga (Wabunge) kwa penalti 3-2.
Yanga baada ya kipigo hicho.
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga (Wabunge) wakati wa TAMASHA LA MATUMAINI ambapo wabunge wapenzi wa timu ya Simba wameibuka kidedea kwa penalti 3-2.  Simba wamefunga penalti 3 wakati Yanga wakifunga 2.