Nje ya mahakama hiyo wanahabari wakiwa katika hekaheka.

Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry akiingia katika mahakama ya Westminster kusikiliza shitaka la kumfanyia vetendo vya kibaguzi mshambuliaji wa klabu ya Queens Park Rangers katika mchezo baina ya timu hizo uliochezwa Octoba 13 mwaka jana.
Siku ya tukio Ferdinand akizozana na Terry.
Terry akitoka mahakani hapo ambapo shauri hilo litasikilizwa kwa muda wa siku tano ambapo kama akikutwa na hatia atatozwa faini ya paundi 2,500.
Terry akiwa amezungukwa na polisi.
 
Nje ya mahakama hiyo wanahabari wakiwa katika hekaheka.