Huu ndo ujumbe alioutoa msanii Diamond:
"Najua
watu wengi sana mnapenda couple hii na furaha yenu ni kutuona
wawili sisi tukiwa kwenye mahusiano ya kimapenzi......na mmekuwa
mkifurahi sana na stori za hapa na pale mkisikia wawili sisi
tumekuwa pamoja na hata pindi mkituona tuko pamoja pia mmekuwa
mkishangilia na kufurahi.........
But
ukweli ni kwamba mimi na wema si wapenzi.Tumekuwa ni dada na kaka
ama marafiki tu wakawaida ambao tumekuwa tukishirikiana katika kazi
mbali mbali za sanaa na nje ya sanaa katika harakati za kujenga
taifa letu.......
Pia
ni vizuri ningepnda mfahamu kwamba wema ana mpenzi wake ambaye
amfahamu na tunaheshimiana kama mtu na shemeji yake......So das' de
truth abt me and her....and get read kwa kazi tofautitofauti
ambazo soon zitadondoka"......Diamond