HAYA NDO MADHARA YA KUPIGA PICHA ZA NUSU UCHI



 HII NI  PICHA YAKE  ILIYO EDITIWA  NA  WATU NA  KSAMBAZWA FACEBOOK

Iko  haja ya wasani  wetu    pamoja na  watu  wengine kuwa  makini  sana  na upigaji wa picha za nusu uchi  kwa sababu ni  rahisi sana kwa watu wenye  ujuzi   kuzi edit  hizo  picha.....

Sote tunakumbuka kuwa  wakati  wa  fiesta ya mwaka  huu ,diamond na kundi lake  walivua  nguo na kubakiza boksa  tu....

Nadhani  lengo  lao lilikuwa ni  kukuza jina.Bahati mbaya sana lengo  hilo halikutimia  na badala yake  jamii iliwashangaa  na kuwachukulia  vibaya.......

Mshangao  huo haukuishia hapo.watu  wasio  na kazi nao wamekuja  na lao jipya baada  ya kuziedit picha hizo na  kuzisambaza  mitandaoni  hasa  facebook na twitter.....

Wakati napekua, nilisituka sana kukutana na hiyo  picha  ikiwa  katika  ukurasa mmoja  wa facebook.Badilikeni wasanii  wetu.......mambo mengine  mnajitakia wenyewe..

HII NI PICHA  YAKE  ORIGINAL AMBAYO ILITOLEWA  KATIKA MAGAZETI  

PICHA  NIMEIKUTA  HAPA: << PICHA   YAKE>>