Kocha wa Manchester City, Roberto Mancini asaini mkataba Mpya


Roberto Mancini, Kocha wa sasa wa timu ya Manchester City, alichukua nafasi ya Mark Hughes kama kocha, Desemba mwaka 2009,ambapo anasifika kwa kuiongoza timu hiyo hadi kutwaa kombe la FA mwaka 2011.


Mwaka mmoja baada ya hapo, City ilitwaa taji lake la kwanza la Ligi Kuu tangu mwaka 1968,
Mancini amesain mkataba mpya wa kuendelea kufunda timu hiyo hadi mwaka wa 2017.