Aidha, mwanamitindo huyo alisema ataubeba ubalozi huo kwa umakini mkubwa kwa sababu heshima waliyompa ni kubwa sana kwa upande wa warembo na wanamitindo wa hapa nchini.
BELINA ALA SHAVU NONO....HIVI SASA NI BALOZI
Aidha, mwanamitindo huyo alisema ataubeba ubalozi huo kwa umakini mkubwa kwa sababu heshima waliyompa ni kubwa sana kwa upande wa warembo na wanamitindo wa hapa nchini.