Huenda Jay (mtoto wa kiume wa Feza Kessy) anaweza kupata wadogo zake wa kucheza nao soon. Hiyo ni kutokana na mama yake anayeiwakilisha Tanzania mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’ kumwambia mchumba wake raia wa Botswana, Oneal kuwa angependa azae naye watoto.
Showing posts with label UDAKU. Show all posts
Showing posts with label UDAKU. Show all posts
WAKATI NANDO AKIHANGAIKA NA GONJWA LA ZINAA ALOPEWA, FEZA NAYE AMETANGAZA NIA YAKE YA KUZALISHWA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
Huenda Jay (mtoto wa kiume wa Feza Kessy) anaweza kupata wadogo zake wa kucheza nao soon. Hiyo ni kutokana na mama yake anayeiwakilisha Tanzania mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’ kumwambia mchumba wake raia wa Botswana, Oneal kuwa angependa azae naye watoto.
"SIWAOGOPI MATAIRA WANAONIPONDA....MUNGU PEKEE ANAWEZA NA SI HAO TUMBIRI".....HII NI KAULI YA DIAMOND
Watu kadhaa wamekuwa wakimponda Diamond baada ya kwenda LONDONI kwa madai kuwa ni mshamba wa jiji na limbukeni ....
Madai hayo yamekuja baada ya msanii huyu kuanza kuyashobokea magari ya kifahari kwa kupiga nayo picha na kuzirusha hewani.....
Baada ya kuona mizengwe ya watu imekuwa mingi, Diamond ameamua kuwajibu kwa kupost jumbe huu
LULU KURUDIA KAZI YAKE BAADA YA KUSHINDA KESI YAKE!
MREMBO ABAMBWA KWA WIZI KWA KUTUMIA 'CHUMA ULETE'
Akiojiwa na mwandishi baada ya kukamatwa
.MREMBO mmoja, Rukia Omari mkazi wa Mbezi Beach jijini Dar amebambwa
akidaiwa kuiba fedha kwa njia za miujiza eneo la Bunju Mwanjenje kwenye
duka la Wapemba.Imeelezwa kuwa katika tukio hilo, Rukia alichukua fedha kimiujiza
dukani na kutokomea, hali iliyosababisha wenye duka kutangaza dau la
shilingi 500,000 kwa atakayewezesha kukamatwa kwake.POMBE YAMTOA MADEE...ANADAI IMEMPA HESHIMA KUBWA MTAANI
Msanii wa Kundi la Tip Top Connection, Madee au Rais wa Manzese ameeleza kuwa wimbo wake wa Nani Kamwaga Pombe Yangu umempa heshima kubwa.
Akiongea na mwandishi wetu, Madee, ambaye jina lake halisi ni Hamad Ally
Seneda alisema licha ya kupata shoo nyingi, lakini pia ni wimbo ambao
unapigwa sana kwenye klabu mbalimbali na kila unapopigwa hakuna anayekaa
kitini.
Alisema kuwa kufuatia kutoa wimbo huo ameshakusanya Shilingi 16 milioni.
Alisema pamoja na kupata fedha nyingi kupitia
wimbo huo bado hajaamua azifanyie nini ila ameamua atulie kwanza
akitafakari nini kinafuata.
Diamond"Ni kweli Nilimrecodi Wema ila Sioni kosa Langu Siwezi Mwomba Msamaha"
Skendo iliyokuwa ikiendelea mtaani kuhusu msanii Diamond na tuhuma za kumrekodi aliyekuwa mpenzi wake wa zamani mwanadada Wema Sepetu, msanii huyo amekir kuwa ni kweli alifanya tuhuma hizo kwaajili ya kulinda penzi lake.
Subscribe to:
Posts (Atom)

















