Yanga Yaibamiza APR Mabao 2-0 Kombe La Kagame

Mchezaji wa timu ya APR ya Rwanda, Selemani Ndikumana akijiandaa kupiga mpira mbele ya beki wa timu ya Yanga, Kevin Yondan wakati wa mchezo wa kuwania kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa katika mchezo huo Yanga wameitwanga APR mabao 2-0 yaliyofungwa na Said Bahanuz.
Kikosi cha timu ya APR kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa mchezo huo kwenye uwanja wa Taifa.
Kikosi cha timu ya Yanga kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa mchezo huo kwenye uwanja wa Taifa.