IZZO BIZNESS NA BELLE 9 WAKUTANA FACE 2 FACE.

Rapper anayeiwakilisha vyema Mbeya City,Izzo Bizness amekutana Face 2 Face na Mwimbaji mkali mwenye sauti ya hatari Belle 9 katika Ngoma yake mpya.
Izzo amefunguka na kusema yupo katika harakati za mwisho za ngoma mpya aliyomshirikisha Belle 9 na itatoka mwezi wa 8.
Ngoma hiyo inaitwa UTARUDISHWA. Beat ya ngoma hiyo imetengenezwa na mwana hiphop mkali rapper ONE THE INCREADIBLE, na ameingiza vocal katika studio itwayo Dirty Mode Record chini ya Tris.