Wiki Ya Nenda Kwa Usalama Yamalizika


  Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Nenda kwa Usalama Mkoa wa Iringa, Salim Abri Asas mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Samora mkoani Iringa kufunga maadhimisho hayo kitaifa.
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akisalimiana na Meneja Mauzo wa Airtel, Kanda ya Nyanda usini, Beda Kinunda  mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Samora mkoani Iringa kufunga maadhimisho hayo kitaifa. Airtel ndio wadhamini wa maadhimisho hayo kitaifa.
 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akisalimiana na RPC wa Mkoa wa Mbeya, Diwani Athuman mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Samora mkoani Iringa kufunga maadhimisho hayo kitaifa.
 Wabunge wa Viti Maalum mkoa Iringa, Ritha Motto Kabati (kulia) na  Ckiku Alfan Abwao (kushoto) wakiwa katika viwanja vya Samora mjini Iringa hii leo katika ufungaji wa Maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa.
 Mneja wa Mkoa wa Iringa wa Shirika la Bima la Taifa, (NIC) Ally Mohamed (kulia) akitoa maelezo ya taasisi hiyo kwa Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma alipotembelea banda hilo. Wengine ni Mbunge wa Viti Maalum Iringa, Ritha Kabati (kushoto) na Kamanda wa Trafiki, Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akifunga rasmi maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa Mkoani Iringa leo.