PICHA NA MATUKIO WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA

Ndugu Mhoja Luchagula kushoto na Maganga Emanuneli wakiwa na furaha mara baada ya kutunukiwa shahada ya kwanza katika mahafali yaliyo fanyika katika chuo kikuu cha dodoma

Fadhili Mshamu kushoto akipongeza Mhoja Luchagula kwa kupata shahada ya kwanza katika chuo kikuu  cha DODOMA



 Kutoka kushoto ni Mhoja Luchagula,Kessy Ronald,Maganga Emmanuel na Chande Abdallah wakiwa na furuha kwa kupata shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha DODOMA wote toka katika college of Humanities
Salumu Nyamwese akiwa na mama mzazi pamoja na ndugu yake mara tu baada ya kutunikiwa shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha DODOMA toka college of Informatics

Ndugu Juma Chango kushoto  akimpongeza  Dedema Siliaku katika mahafali ya chuo kikuu  cha DODOMA ndugu Dedema anatoka katika college of informatics