ROSE NDAUKA  NA MAYA
AMA
 kweli dunia imekwisha! Imebainika kuwa baadhi ya mastaa wa kike wa  
tasnia mbalimbali Bongo, wamejiingiza kwenye magenge ya kufanya vitendo 
 vya ngono vya wenyewe kwa wenyewe (usagaji).Kwa mujibu wa uchunguzi wetu, baadhi ya mastaa hao  wamekuwa malimbukeni
 kwa kufanya vitendo vilivyo nje ya maadili ya  Kitanzania likiwemo hili
 la usagaji.
 Wengi
 huanza kwa kuigiza mavazi yasiyo na staha, kunywa pombe, kuvuta  sigara
 na madawa ya kulevya kisha baadaye hufikia hatua ya kufanya  vitendo 
hivyo.
chanzo mpekuzi blog 
