Mwigizaji 
  mwenye  mbwembwe nyingi  kutoka ndani ya  tasnia ya filamu Bongo  
Christina Manongi 'Sintah' amemtaka  video queen wa Bongo Agness Gerald 
 Masogange   kufunga bakuli lake (kunyamza kimya) na kuacha  kumapakazia
  meneno machafu kwenye vyombo vya  habari.
Akizungumza
 na mwandishi wetu  mapema leo Sintah amesema kuwa  amesikitishwa  sana 
na kitendo cha  Agness kumtaja yeye (Sintah) kuwa  ndiye anahusika na 
kuisambaza kwenye mitandao video  inayomuonyesha  Agness akiwa mtupu 
huku pia akionekana kufanaya  matendo kadhaa ya  kingono.
"Nimemsikia
 na isitoshe kuna watu wengi wameniambia juu ya hilo la  kunitukana na 
kunitaja redioni kuwa nahusika, mimi  sijui lolote  awaulize marafiki 
zake  ambao mimi naamini ndiyo wanahusika kuzisambaza  kwani hata kwenye
 BBM yangu ni wao ndiyo walinitumia namuomba afunge  bakuli  lake la 
siivyo nitazitoa zaidi kwani ninazo pati wani mpaka 3 na  zote 
nimetumiwa na marafiki zake ambao yeye anacheka nao lakini hajui  kama 
ni ma-sn***ch" alisema Sintah
Akiendelea
 zaidi Sintah amefunguka kuwa  kamwe hajui lolote kuhusu  kamera 
anayoisma Agnes, kwani binafasi hajawahi kukutana naye  na   alimjua  
kupitia   nyimbo za wasanii wa Bongo Fleva kwa kuwa msichana  huyo 
anapenda kuuza sura  na zaidi hajui hata  anapokaa.